Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 13:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

37 Akajibu, akasema, Azipandiie zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Yesu akawaambia, “Mpanzi wa zile mbegu nzuri ni Mwana wa Mtu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Akawaambia, “Aliyepanda mbegu nzuri ni Mwana wa Adamu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:37
16 Marejeleo ya Msalaba  

Awapokeae ninyi, anipokea mimi; nae anipokeae mimi, ampokea yeye aliyenituma.


Akawatolea mfano mwingine, akinena, Ufalme wa mbinguni umefanana na mtu aliyepanda mbegu njema katika konde lake:


Watumishi wa mwenye nyumba wakaenda wakamwambia, Bwana, hukupanda mbegu njema katika konde lako? limepatapi bassi magugu?


Hatta alipokuwa akipanda, nyingine zikaanguka njiani, ndege wakaja wakazila:


Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya katika ufalme wake machukizo yote, nao watendao maasi,


Yesu akamwambia, Mbweha wana matundu, na ndege za anga vituo; bali Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.


Awasikiae ninyi, anisikia mimi, nae awakataae ninyi, anikataa mimi; nae anikataae mimi amkataa yeye aliyenituma.


Amin, amin, nawaambieni, Yeye ampokeae ye yote nimpelekae, anipokea mimi; nae anipokeae mimi, ampokea yeye aliyenipeleka.


Bassi Yesu akawaambia marra ya pili, Amani kwenu; kama Baba alivyonipeleka, nami nawatuma ninyi.


Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemi, na katika Yahudi yote, na Samaria, na hatta mwisho wa inchi.


Maana sitathubutu kutaja neno asilolitenda Kristo kwa kazi yanga, mataifa wapate kutii, kwa neno au kwa tendo, kwa nguvu za ishara na maajabu,


KWA sehemu nyingi na kwa namna nyingi Mungu zamani alisema na babu zetu katika manabii,


sisi je! tutapataje kujiponya, tusipotunza wokofu mkiju namna hii? ambao kwanza ulinenwa na Bwana, kiisha nkathubutika kwetu na wale waliosikia;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo