Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 13:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Akasema nao mengi kwa mifano, akinena, Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 naye Yesu akawaambia mambo mengi kwa mifano. “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 naye Yesu akawaambia mambo mengi kwa mifano. “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 naye Yesu akawaambia mambo mengi kwa mifano. “Sikilizeni! Mpanzi alikwenda kupanda mbegu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Ndipo akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Ndipo akawaambia mambo mengi kwa mifano, akisema: “Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu zake.

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:3
27 Marejeleo ya Msalaba  

Hatta alipokuwa akipanda, nyingine zikaanguka njiani, ndege wakaja wakazila:


Ikawa Yesu alipomaliza mifano hii, akatoka, akaenda zake.


YESU akajibu, akawaambia tena kwa mifano, akinena,


Kwa mtini jifunzeni mfano: tawi lake likiisha kuwa laini na kuchanua majani, mwafahamu ya kuwa wakati wa hari ni karibu;


AKAANZA kusema nao kwa mifano. Mtu alipanda mizabibu, akazungusha nzio, akachimbia shimo lake shinikizo, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Wakatafuta kumkamata, wakaogopa makutano; maana walitambua ya kwamba ule mfano amewanena wao. Wakamwacha wakaenda zao.


Akawaita, akawaambia kwa mifano, Awezaje Shetani kumfukuza Shetani?


Askawaambia, Hamjui mfano huu? Bassi mifano yote mtaitambuaje?


Kwa mifano mingi ya namna hii alikuwa akisema nao neno lake, kwa kadiri walivyoweza kusikia;


Petro akasema, Bwana, unatuambia sisi mfano huu au watu wote pia?


Akasema, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa Mungu, bali wengineo kwa mifano, illi wakiona, wasione, na wakisikia, wasitambue.


Haya nimesema nanyi kwa methali: saa inakuja, sitasema nanyi tena kwa methali, lakini nitawapa kwa wazi khabari ya Baba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo