Mathayo 13:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192128 Akawaambia, Adui ndiye aliyetenda hivi. Watumishi wakamwambia, Bassi, wataka twende tukayakusanye? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Yeye akawajibu, ‘Adui ndiye aliyefanya hivyo’. Basi, watumishi wake wakamwuliza, ‘Je, unataka twende tukayangoe?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Yeye akawajibu, ‘Adui ndiye aliyefanya hivyo’. Basi, watumishi wake wakamwuliza, ‘Je, unataka twende tukayangoe?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Yeye akawajibu, ‘Adui ndiye aliyefanya hivyo’. Basi, watumishi wake wakamwuliza, ‘Je, unataka twende tukayang'oe?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 “Akawajibu, ‘Adui ndiye alifanya jambo hili.’ “Wale watumishi wakamuuliza, ‘Je, unataka twende tukayang’oe?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 “Akawajibu, ‘Adui ndiye alifanya jambo hili.’ “Wale watumishi wakamuuliza, ‘Je, unataka twende tukayang’oe?’ Tazama sura |