Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 13:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Nae aliyepandwa penye miamba, huyu ndiye alisikiae lile neno, akalipokea marra kwa furaha;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Ile mbegu iliyopandwa penye mawe ni mfano wa mtu asikiaye neno hilo na mara akalipokea kwa furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Ile mbegu iliyopandwa penye mawe ni mfano wa mtu asikiaye neno hilo na mara akalipokea kwa furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Ile mbegu iliyopandwa penye mawe ni mfano wa mtu asikiaye neno hilo na mara akalipokea kwa furaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Ile mbegu iliyopandwa kwenye sehemu yenye mawe ni mtu yule ambaye hulisikia neno na hulipokea mara moja kwa furaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Ile mbegu iliyopandwa kwenye sehemu yenye mawe ni mtu yule ambaye hulisikia neno na mara hulipokea kwa furaha.

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:20
17 Marejeleo ya Msalaba  

Killa alisikiae neno la ufalme asifahamu, huja yule mwovu, akaliteka lililopandwa moyoni mwake. Huyu ndiye aliyepandwa njiani.


lakini hana mizizi udani yake, hukaa muda mchache; ikitukia shidda au udhia kwa sababu ya lile neno, marra huchukizwa.


kwa maaua killa aombae hupokea; nae atafutae huona, nae abishae alafunguliwa.


Maana Herode alimwogopa Yohana: hatta akimjua kuwa ni mtu wa haki, mtakatifu, akamhami, na alipokwisha kumsikiliza alifanya mambo mengi: nae alikuwa akimsikiliza kwa furaha.


Yeye alikuwa taa iwakayo na kuangaza, na ninyi mlipenda kuishangilia nuru yake kitambo.


Na yeye Simon mwenyewe aliamini akabatizwa, akakaa na Filipo: akashangaa alipoziona ishara na miujiza mikubwa inayotendeka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo