Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 13:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Wanafunzi wake wakamwendea, wakamwuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wanafunzi wake wakamwendea, wakamuuliza, “Kwa nini unasema na watu kwa mifano?”

Tazama sura Nakili




Mathayo 13:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wale hawakujaliwa.


Akasema nao mengi kwa mifano, akinena, Mpanzi alitoka kwenda kupanda mbegu.


Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


Alipokuwa peke yake, watu waliomzunguka, na wale thenashara wakamwuliza khabari za ule mfano.


Wanafunzi wake wakamwuliza, wakinena, Mfano huu ni nini?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo