Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Kwa maana Mwana wa Adamu udiye Bwana wa sabato.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Maana Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Maana Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Maana Mwana wa Mtu ana uwezo juu ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na killa mtu atakaenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakaenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ntakaokuwa.


Maana kama vile Yunus alivyokuwa siku tatu mchana na nsiku katika tumbo la nyamgumi, hivyo ndivyo Mwana wa Adamu atakavyokuwa siku tatu mchana na usiku katika moyo wa inchi.


Yesu akamwambia, Mbweha wana matundu, na ndege za anga vituo; bali Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.


Lakini illi mjue ya kuwa Mwana wa Adamu yuna mamlaka katika dunia kuondoa dhambi, (amwambia yule mgonjwa wa kupooza) Ondoka, ujitwike kitanda chako, ukaende nyumbani kwako.


Bassi yeye aliye Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.


Akawaambia ya kwamba, Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato pia.


Siku ya kwanza ya juma killa mtu kwenu na aweke akiba kwake, kwa kadiri ya kufanikiwa kwake; changizo zisifanyike hapo nitakapokuja:


Kwa wale wasio na sharia nalikuwa kama sina sharia. Si kana kwamba sina sharia mbele za Mungu, hali mwenye sharia mbele za Kristo, illi niwapate wasio na sharia.


Nalikuwa katika Roho, siku ya Bwana; nikasikia sauti kuu nyuma yangu, kama sauti ya baragumu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo