Mathayo 12:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 Kama mngalijua maana ya maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka, hamngaliwalaumu wasio na khatiya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Kama tu mngejua maana ya maneno haya: ‘Nataka huruma wala si tambiko,’ hamngewahukumu watu wasio na hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Kama tu mngejua maana ya maneno haya: ‘Nataka huruma wala si tambiko,’ hamngewahukumu watu wasio na hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Kama tu mngejua maana ya maneno haya: ‘Nataka huruma wala si tambiko,’ hamngewahukumu watu wasio na hatia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Kama mngekuwa mmejua maana ya maneno haya, ‘Nataka rehema, wala si dhabihu,’ msingewalaumu watu wasio na hatia, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Kama mngekuwa mmejua maana ya maneno haya, ‘Nataka rehema, wala si dhabihu,’ msingewalaumu watu wasio na hatia, Tazama sura |