Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Wala hamkusoma katika torati, kwamba siku ya sabato makuhani hekaluni huinajisi sabato wasipate khatiya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Au je, hamjasoma katika kitabu cha sheria kwamba kila siku ya Sabato makuhani huivunja sheria hekaluni, lakini hawafikiriwi kuwa na hatia?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Au je, hamjasoma katika kitabu cha sheria kwamba kila siku ya Sabato makuhani huivunja sheria hekaluni, lakini hawafikiriwi kuwa na hatia?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Au je, hamjasoma katika kitabu cha sheria kwamba kila siku ya Sabato makuhani huivunja sheria hekaluni, lakini hawafikiriwi kuwa na hatia?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Au hamjasoma katika Torati kwamba siku ya Sabato makuhani huvunja sheria ya Sabato Hekaluni lakini hawahesabiwi kuwa na hatia?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Au hamjasoma katika Torati kwamba siku ya Sabato makuhani huvunja sheria ya Sabato Hekaluni lakini hawahesabiwi kuwa na hatia?

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:5
7 Marejeleo ya Msalaba  

jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, akaila mikate iliyotolewa kwa Mungu, isiyo halali kuliwa nae wala na wenzi wake, illa na makuhani peke yao?


Lakini nawaambieni, kwamba hapa yupo aliye mkuu kuliko hekalu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo