Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:48 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

48 Akajihu, akamwambia yule aliyempa khabari, Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni nani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

48 Lakini Yesu akamjibu mtu huyo, “Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni akina nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

48 Lakini Yesu akamjibu mtu huyo, “Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni akina nani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

48 Lakini Yesu akamjibu mtu huyo, “Mama yangu ni nani? Na ndugu zangu ni akina nani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

48 Lakini yeye akamjibu na kumwambia yule mtu, “Mama yangu ni nani, nao ndugu zangu ni nani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

48 Lakini yeye akamjibu na kumwambia yule mtu, “Mama yangu ni nani, nao ndugu zangu ni nani?”

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:48
9 Marejeleo ya Msalaba  

Apendae baba au mama kuliko mimi, hanifai; na apendae mwana au binti kuliko mimi hanifai.


Mtu akamwambia, Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kusema nawe.


Akawanyoshea mkono wanafunzi wake, akasema. Tazama, Mama yangu na ndugu zangu!


Akawaambia, Kwani kunitafuta? Hamkujua ya kuwa imenipasa kuwa katika nyumba ya baba yangu?


Yesu akazidi kuendelea katika hekima, na kimo, na neema kwa Mungu na kwa watu.


Hatta imekuwa, sisi tangu sasa hatumjui mtu awae yote kwa jinsi ya mwili. Ingawa sisi tumemjua Kristo kwa jinsi ya mwili, sasa lakini hatumjui hivi tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo