Mathayo 12:46 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192146 Alipokuwa katika kusema na makutano, mama yake na ndugu zake walikuwa wakisimama nje, wakitaka kusema nae. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema46 Yesu alikuwa bado anasema na umati wa watu wakati mama yake na ndugu zake walipofika na kusimama nje, wakitaka kusema naye. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND46 Yesu alikuwa bado anasema na umati wa watu wakati mama yake na ndugu zake walipofika na kusimama nje, wakitaka kusema naye. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza46 Yesu alikuwa bado anasema na umati wa watu wakati mama yake na ndugu zake walipofika na kusimama nje, wakitaka kusema naye. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu46 Wakati alikuwa angali anazungumza na umati wa watu, mama yake na ndugu zake wakasimama nje wakitaka kuongea naye. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu46 Wakati alikuwa angali anazungumza na makutano, mama yake na ndugu zake wakasimama nje wakitaka kuongea naye. Tazama sura |