Mathayo 12:43 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192143 Pepo mchafu, amtokapo mtu, hupita kati ya pahali pasipo maji, akitafuta mahali pa kupumzika, asipate. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 “Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu, huzururazurura jangwani kukavu akitafuta mahali pa kupumzika asipate. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 “Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu, huzururazurura jangwani kukavu akitafuta mahali pa kupumzika asipate. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 “Pepo mchafu akifukuzwa kwa mtu, huzururazurura jangwani kukavu akitafuta mahali pa kupumzika asipate. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 “Pepo mchafu amtokapo mtu, hutangatanga katika sehemu zisizo na maji akitafuta mahali pa kupumzika, lakini hapati. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 “Pepo mchafu amtokapo mtu, hutangatanga katika sehemu zisizo na maji akitafuta mahali pa kupumzika, lakini hapati. Tazama sura |