Mathayo 12:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19213 Akawaambia, Hamkusoma alivyotenda Daud, alipokuwa na njaa, yeye na wenzi wake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Isa akawajibu, “Je, hamjasoma alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na njaa? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Isa akawajibu, “Je, hamjasoma alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na njaa? Tazama sura |