Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Akawaambia, Hamkusoma alivyotenda Daud, alipokuwa na njaa, yeye na wenzi wake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Yesu akawajibu, “Je, hamjasoma alivyofanya Daudi pamoja na wenzake wakati walipokuwa na njaa?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Isa akawajibu, “Je, hamjasoma alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na njaa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Isa akawajibu, “Je, hamjasoma alichofanya Daudi na wenzake walipokuwa na njaa?

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na Mafarisayo walipoona, wakamwambia, Tazama! wanafunzi wako wanatenda lililo haramu kutenda siku ya sabato.


jinsi alivyoingia katika nyumba ya Mungu, akaila mikate iliyotolewa kwa Mungu, isiyo halali kuliwa nae wala na wenzi wake, illa na makuhani peke yao?


Wala hamkusoma katika torati, kwamba siku ya sabato makuhani hekaluni huinajisi sabato wasipate khatiya?


Akajihu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,


wakamwambia, Wasikia hawa wanenavyo? Yesu akawaambia, Naam; hamkupata kusoma, Kwa vinywa vya watoto wachanga na wanyonyao umekamilisha sifa?


Tena katika khabari ya kiyama ya wafu, hamjaiisoma neno lililonenwa na Mungu, akisema,


Hatta andiko hili hamjalisoma? Jiwe walilokataa waashi Hili limekuwa jiwe kuu la pembeni.


Na katika khabari ya wafu ya kwamba wafufuka, hamjasoma katika Kitabu cha Musa, mwenye Kijiti, jinsi Mungu alivyomwambia, akinena, Mimi ni Mungu wa Ibrahimu, na Mungu wa Isaak, na Mungu wa Yakobo?


Akamwambia, Katika torati imeandikwa nini? Wasomaje?


Yesu akajibu, akawaambia, Hatta neno hili hamkulisoma, alilolitenda Daud, alipokuwa na njaa, yeye nao waliokuwa pamoja nae,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo