Mathayo 12:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192128 Lakini mimi nikifukuza pepo kwa uweza wa Bobo ya Mungu, bassi ufalme wa Mungu umekujieni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema28 Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa nguvu ya Roho wa Mungu, basi jueni kwamba ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND28 Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa nguvu ya Roho wa Mungu, basi jueni kwamba ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza28 Lakini ikiwa ninawafukuza pepo kwa nguvu ya Roho wa Mungu, basi jueni kwamba ufalme wa Mungu umekwisha fika kwenu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu28 Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa Roho wa Mungu, basi ufalme wa Mungu umekuja juu yenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu28 Lakini kama mimi ninatoa pepo wachafu kwa Roho wa Mwenyezi Mungu, basi Ufalme wa Mwenyezi Mungu umekuja juu yenu. Tazama sura |