Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Lakini Mafarisayo waliposikia, wakasema, Huyu hafukuzi pepo, illa kwa uweza wa Beelzebul mkuu wa pepo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, wakasema, “Mtu huyu anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, wakasema, “Mtu huyu anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Lakini Mafarisayo waliposikia hayo, wakasema, “Mtu huyu anawafukuza pepo kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Lakini Mafarisayo waliposikia jambo hili wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo wachafu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Lakini Mafarisayo waliposikia jambo hili wakasema, “Mtu huyu anatoa pepo wachafu kwa uwezo wa Beelzebuli, mkuu wa pepo wachafu.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:24
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yamtosha mwanafunzi kuwa kama mwalimu wake, na mtumishi kuwa kama bwana wake. Ikiwa wamemwita mwenye nyumba Beelzebul, je, si zaidi wale walio nyumbani mwake?


Hatta wale walipokuwa wakitoka, wakamletea mtu bubu mwenye pepo.


Lakini Mafarisayo wakanena, Kwa mkuu wa pepo afukuza pepo.


Waandishi walioshuka kutoka Yahudi wakanena, Ana Beelzebul, na kwa uwezo wa mkuu wa pepo awafukuza pepo.


Na Yesu alikuwa akifukuza pepo bubu. Ikawa yule pepo alipotoka, bubu akasema, makutano wakastaajabu.


Wengine wao wakasema, Kwa Beelzebul, mkubwa wa pepo atoa pepo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo