Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Makutano wote wakashangaa wakasema, Huyu siye mwana wa Daud?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Umati wote wa watu ulishangaa ukasema, “Je, huenda ikawa huyu ndiye Mwana wa Daudi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Umati wote wa watu ulishangaa ukasema, “Je, huenda ikawa huyu ndiye Mwana wa Daudi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Umati wote wa watu ulishangaa ukasema, “Je, huenda ikawa huyu ndiye Mwana wa Daudi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Watu wote wakashangaa na kusema, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Watu wote wakashangaa na kusema, “Je, yawezekana huyu ndiye Mwana wa Daudi?”

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na mwanamke Mkauanaya wa mipaka ile akatokea, akampaazia sauti, akinena, Unirehemu. Bwana, Mwana wa Daud; binti yangu amepagawa sana na pepo.


Na makutano waliotangulia, na waliofuata, wakapaaza sauti zao, wakinena, Utuokoe sasa, Mwana wa Daud; amebarikiwa ajae kwa jina la Bwana; Utuokoe sasa wewe uliye juu.


Ikawa, Yesu alipomaliza maneno haya, makutano wakashangaa kwa mafundisho yake:


Yesu alipokuwa anaondoka kutoka huko, vipofu wawili wakamfuata wakipaaza sauti, wakinena. Uturehemu, Ee mwana wa Daud.


Na pepo alipofukuzwa, yule bubu akasema, makutano wakastaajabu, wakanena, Haijaonekana hivi katika Israeli wakati wo wote.


Njoni, nitazame mtu aliyeniambia mambo yote niliyoyatenda. Je! haimkini huyu kuwa ndiye Kristo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo