Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Na Mafarisayo walipoona, wakamwambia, Tazama! wanafunzi wako wanatenda lililo haramu kutenda siku ya sabato.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia Yesu, “Tazama, wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanya siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia Yesu, “Tazama, wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanya siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Mafarisayo walipoona hayo, wakamwambia Yesu, “Tazama, wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanya siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Lakini Mafarisayo walipoona jambo hili, wakamwambia, “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanywa siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Lakini Mafarisayo walipoona jambo hili, wakamwambia, “Tazama! Wanafunzi wako wanafanya jambo lisilo halali kufanywa siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:2
19 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama mtu mwenye mkono umepooza, wakamwuliza, wakinena, Ni halali kuponya watu siku ya sabato? wapate kumshtaki.


Akawaambia, Hamkusoma alivyotenda Daud, alipokuwa na njaa, yeye na wenzi wake;


Mafarisayo wakamwambia, Tazama, mbona wanatenda lisilo halali siku ya sabato?


Yesu akajibu akawaambia wana sharia na Mafarisayo, akisema, Je? ni halali kuponya siku ya sabato, ama sivyo? Wakanyamaza.


Na siku ya sabato wakastarehe kama ilivyoamriwa.


Bassi baadhi ya Mafarisayo wakawaambia, Mbona mnatenda lisilo halali siku ya Sabato?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo