Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Hatateta, wala hatapaaza sauti yake; Wala mtu hatasikia sauti yake njiani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hatakuwa na ubishi wala kupiga kelele, wala sauti yake haitasikika barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Hatagombana wala kupaza sauti, wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Hatagombana wala hatapiga kelele, wala hakuna atakayesikia sauti yake njiani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Jitieni nira yangu, jifunzeni kwa mfano wangu; kwa kuwa mimi ni mpole na moyo wangu umenyenyekea: nanyi mtapata raha rohoni mwenu;


Mwanzi uliopondeka hatauvunja, Wala kitani kitokacho moshi hatakizima, Hatta aletapo hukumu yake ikashinda.


Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu waja lini? akawajibu, akasema, Ufalme wa Mungu hauji kwa kupelelezwa.


NAMI Paolo, nawasihi kwa upole na utaratibu wa Kristo, mimi niliye mnyenyekevu niwapo pamoja nanyi, bali nisipokuwapo mwenye ujasiri kwenu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo