Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 illi litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 ili yale aliyosema Mungu kwa njia ya nabii Isaya yatimie:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 ili yale aliyosema Mungu kwa njia ya nabii Isaya yatimie:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 ili yale aliyosema Mungu kwa njia ya nabii Isaya yatimie:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 ili neno lililonenwa na nabii Isaya litimie, aliposema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Hii ilikuwa ili litimie lile neno lililonenwa kwa kinywa cha nabii Isaya kusema:

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:17
15 Marejeleo ya Msalaba  

akawaagiza wasimdhihirishe;


Tazama, mtumishi wangu niiliyemteua; Mpendwa wangu, ambae moyo wangu umependezwa nae; Nitamtia roho yangu, Nae atuwatangazia Mataifa hukumu.


illi litimizwe neno lililonenwa mi nabii, akisema, Nitafunua kinywa changu kwa mifano, Nitatoa mambo yaliyostirika tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu.


Haya yote yamepata kuwa, illi litimie neno lililonenwa na nabii, akisema,


illi litimie lile neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema, Mwenyewe alitwaa magonjwa yetu, na kuchukua maradhi zetu.


Kwa sababu hizi ni siku ya mapatilizo, yote yaliyoandikwa yapate kutimizwa.


Akawaambia, Haya ndiyo maneno yangu niliyowaambieni, nilipokuwa kwenu, ya kuwa hayana buddi kutimizwa yote niliyoandikiwa katika torati ya Musa, na katika manabii, na katika zaburi.


Ikiwa aliwaita wale miungu waliojiliwa na neno la Mungu (na maandiko hayawezi kutanguka),


illi litimizwe lile neno la nabii Isaya alilolisema, Bwana, nani aliyeziamini khabari zetu? Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani?


Baada ya haya Yesu, akijua ya kuwa yote yamekwisha kumalizwa, andiko litimizwe, akasema, Nina kiu.


Kwa maana wakaao Yerusalemi, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua huyu, wala sauti za manabii wanaosomwa killa sabato, wamezitimiza kwa kumhukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo