Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 akawaagiza wasimdhihirishe;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 akawaamuru wasiwaambie watu habari zake,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 akiwakataza wasiseme yeye ni nani,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 akiwakataza wasiseme yeye ni nani.

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

illi litimie neno lililonenwa na nabii Isaya, akisema,


Na walipokuwa wakishuka mlimani, Yesu akawaagiza, akinena, Msimwambie mtu khabari ya mambo hayo, hatta Mwana wa Adamu atakapofufuka katika wafu.


Yesu akamwambia, Angalia, usimwambie mtu; illa enenda zako, ukajionyeshe kwa kuhani, utoe sadaka kama alivyoamuru Musa, iwe ushuhuda kwao.


Macho yao yakafumbuka. Yesu akawaagiza kwa nguvu, akinena, Angalieni hatta mtu mmoja asijue.


Yesu akajitenga, yeye na wanafunzi wake, akaenda baharini. Watu wengi sana wakamfuata toka Galilaya, na toka Yahudi, na toka Yerusalemi,


Akawaagiza wasimwambie mtu; lakini kwa kadiri alivyozidi kuwaagiza, ndivyo walivyozidi kutangaza khabari, wakashangaa mno kupita kiasi, wakinena,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo