Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Lakini Mafarisayo wakatoka wakamfanyia shauri la kumwangamiza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje na kupanga njama ya kumuua Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri baya juu ya Isa jinsi watakavyoweza kumuua.

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:14
15 Marejeleo ya Msalaba  

wakafanya shauri pamoja, illi wamkamate Yesu kwa hila na kumwua.


ILIPOKUWA assubuhi, makuhani wakuu wote na wazee wa watu wakafanya shauri juu ya Yesu, wapate kumfisha;


BAADA ya siku mbili ilikuwa siku kuu ya Pasaka, na mikate isiyochachwa: makuhani wakuu na waandishi wakatafuta njia ya kumkamata kwa hila na kumwua.


marra wakaloka wale Mafarisayo, wakamfanyia shauri pamoja na Maherodiano jinsi ya kumwangamiza.


Makuhani wakuu na waandishi wakatafuta njia ya kumwua, kwa maana walikuwa wakiwaogopa watu.


Akatenda hivyo. Mkono wake ukapona, ukawa mzima kama wa pili. Nao wakatekewa moyo: wakisemezana wao kwa wao, wamtendeje Yesu.


Bassi Wayahudi wakaokota mawe tena, illi wampige.


Wakatafuta marra ya pili kumkamata: akatoka mikononi mwao.


Bassi tangu siku ile walifanya shauri wapate kumwua.


Na Makuhani na Mafarisayo wametoa amri ya kwamba, mtu akimjua alipo, alete khabari, wapate kumkamata.


Bassi kwa sababu hii Wayahudi wakazidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na haya alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu.


Bassi wakatafuta kumkamata: lakini hapana aliyenyosha mkono wake illi kumshika kwa sababu saa yake ilikuwa haijaja bado.


Mafarisayo wakawasikia makutano wakinungʼunika hivi kwa khabari zake: bassi Mafarisayo na makuhani wakuu wakatuma watumishi illi wamkamate.


Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hapana mtu aliyenyosha mkono wake illi kumshika.


Bassi wakatwaa mawe wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo