Mathayo 12:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Lakini Mafarisayo wakatoka wakamfanyia shauri la kumwangamiza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Basi, Mafarisayo wakatoka nje, wakashauriana jinsi watakavyomwangamiza Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje na kupanga njama ya kumuua Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Lakini Mafarisayo wakatoka nje, wakafanya shauri baya juu ya Isa jinsi watakavyoweza kumuua. Tazama sura |