Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Akamwambia yule mtu, Nyosha mkono wako; akaunyosha, ukapona, nkawa mzima kama mkono wa pili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Kisha akamwambia yule mtu, “Nyosha mkono wako.” Akaunyosha, nao ukawa mzima kabisa kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Kisha akamwambia yule mtu, “Nyosha mkono wako.” Akaunyosha, nao ukawa mzima kabisa kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Kisha akamwambia yule mtu, “Nyosha mkono wako.” Akaunyosha, nao ukawa mzima kabisa kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Ndipo akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, nao ukaponywa ukawa mzima kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Ndipo akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako.” Akaunyoosha, nao ukaponywa ukawa mzima kama ule mwingine.

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanakhubiriwa khabari njema.


Yesu akanyosha mkono wake, akamgusa, akinena, Nataka: takasika. Marra ukoma wake ukatakasika.


Akaweka mikono yake juu yake, akanyoka marra hiyo, akaanza kumtukuza Mungu.


Ikawa baba yake Publio alikuwa hawezi homa na kuhara damu. Paolo akaingia kwake, akaomba, akaweka mikono yake juu yake, akamponya


Tufuate:

Matangazo


Matangazo