Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Je! mtu si hora sana kuliko kondoo? Bassi ni halali kutenda mema siku ya sabato.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Lakini, mtu ana thamani kuliko kondoo! Basi, ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Lakini, mtu ana thamani kuliko kondoo! Basi, ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Lakini, mtu ana thamani kuliko kondoo! Basi, ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Mtu ana thamani kubwa kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Mtu ana thamani kubwa kuliko kondoo. Kwa hiyo ni halali kutenda mema siku ya Sabato.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Msiogope bassi; hora ninyi kuliko videge vingi.


Waangalieni ndege wa anga, ya kwamba hawapandi, wala hawavuni, wala hawakusanyi ghalani; na Baba yenu wa mbinguni awalisha hawo. Ninyi je! si bora kupita hawo?


Akawaambia, Ni halali siku ya sabato kutenda mema, au kutenda mabaya? kuokoa roho au kuua? Wakanyamaza.


Watafakarini kunguru, hawapandi wala hawavuni: hawana pa kuweka akiba wala ghala, na Mungu huwalisha. Ninyi si hora sana kuliko ndege?


IKAWA, Yesu alipoingia katika nyumba ya mtu mmoja, mtu mkuu katika Mafarisayo, siku ya sabato, ale chakula, walikuwa wakimvizia.


Yesu akawaambia, Nitawaulizeni neno moja. Ni halali siku ya Sabato kutenda mema au kutenda mabaya? kuokoa roho au kuua?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo