Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 12:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Akawaambia, Ni mtu yupi miongoni mwenu mwenye kondoo mmoja, yule kondoo akatumbukia shimoni siku ya sabato, asiyemshika akamwondosha?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Lakini Yesu akawaambia, “Tuseme mmoja wenu ana kondoo wake ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya Sabato?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Lakini Yesu akawaambia, “Tuseme mmoja wenu ana kondoo wake ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya Sabato?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Lakini Yesu akawaambia, “Tuseme mmoja wenu ana kondoo wake ambaye ametumbukia shimoni; je, hatamshika na kumtoa humo siku ya Sabato?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Isa akawaambia, “Ni nani miongoni mwenu, mwenye kondoo wake ambaye huyo kondoo akitumbukia shimoni siku ya Sabato hatamtoa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Isa akawaambia, “Ni nani miongoni mwenu, mwenye kondoo wake ambaye huyo kondoo akitumbukia shimoni siku ya Sabato hatamtoa?

Tazama sura Nakili




Mathayo 12:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

WAKATI ule Yesu alipita katika makonde siku ya sabato; wanafunzi wake wakaona njaa, wakaanza kuvunja masuke, wakala.


Akajibu akawaambia, Nani wenu mwenye punda au ngʼombe ametumbukia kisimani, asiyemwondoa marra moja siku ya sabato?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo