Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 11:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Na yu kheri ye yote asiyechukiwa nami.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Heri mtu yule ambaye hana mashaka nami.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Amebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”

Tazama sura Nakili




Mathayo 11:6
26 Marejeleo ya Msalaba  

lakini hana mizizi udani yake, hukaa muda mchache; ikitukia shidda au udhia kwa sababu ya lile neno, marra huchukizwa.


Ole wa ulimwengu kwa sababu ya mambo ya kukosesha! Maana hayana buddi kuja mambo ya kukosesha; lakini ole wake mtu yule aliletae jambo la kukosesha!


Ndipo wengi watajikwaa, na watasalitiana, na kuchukiana.


Yesu akawaambia, Ninyi nyote mtachukizwa kwa ajili yangu usiku huu: kwa kuwa imeandikwa, Nitampiga mchunga, na kondoo wa kundi watatawanyika.


Jicho lako la kuume likikukosesha, lingʼoe ulitupe mbali nawe: kwa maana yakufaa kiungo chako kimoja kipotee wala mwili wako mzima usitupwe katika jehannum.


Huyu si yule sermala, mwana wa Mariamu, na ndugu wii Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simon? na ndugu zake wanawake hawapo hapa petu? Wakachukizwa nae.


Sumeon akawabariki, akamwambia Mariamu, mama yake, Hakika huyu amewekwa, waanguke, wasimame wengi katika Israeli; awe ishara inenwayo;


na yu kheri ye yote asiyechukizwa nami.


MANENO haya nimewaambieni msije mkachukizwa.


Kwa ajili ya haya wengi katika wanafunzi wake wakarejea nyuma, wala hawakuandamana nae tena.


Bassi mwana Adamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Mungu; maana kwake huyu ni mapumbavu, wala hawezi kuyajua, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.


Na mimi, ndugu, ikiwa ninakhubiri khabari ya kutahiriwa, mbona ningali nikiudhiwa? Hapo kwazo la msaiaba limebatilika.


tena, Jiwe lakujikwaza mguu, na mwamba wa kujiangusha; maana hujikwaza kwa neno lile, wakiliasi, nao waliwekwa wapate hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo