Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 11:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Wewe ndiye ajae, au tumtazamie mwingine?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 wamwulize: “Je, wewe ni yule anayekuja, au tumngoje mwingine?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 wamwulize: “Je, wewe ni yule anayekuja, au tumngoje mwingine?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 wamwulize: “Je, wewe ni yule anayekuja, au tumngoje mwingine?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 ili wakamuulize, “Wewe ndiwe yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”

Tazama sura Nakili




Mathayo 11:3
38 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana huyo ndiye aliyeandikiwa, Tazama, mimi namtuma mjumbe wangu mbele ya uso wako. Atakaeitengeneza njia yako mbele yako.


Yesu akajibu akawaambia, Enendeni mkamweleze Yohana mnayoyasikia na kuyaona:


Mwambieni binti Sayuni, Tazama, mfalme wako anakuja kwako, Mpole, amepanda punda, Na mwana punda, mtoto wa punda.


Na makutano waliotangulia, na waliofuata, wakapaaza sauti zao, wakinena, Utuokoe sasa, Mwana wa Daud; amebarikiwa ajae kwa jina la Bwana; Utuokoe sasa wewe uliye juu.


Watu waliotangulia na wale waliofuata wakapaaza sauti zao, wakinena, Utuokoe sasa; amebarikiwa ajae kwa jina la Bwana;


wakinena Amebarikiwa mfalme ajae kwa jina la Bwana, amani mbinguni, na utukufu palipo juu.


Akamwambia, Naam, Bwana; mimi nimeamini ya kwamba wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu, yule ajae ulimwenguni.


wakatwaa matawi ya mitende wakatoka nje kwenda kumlaki, wakapiga makelele, Hosana; Amebarikiwa ajiie kwa jina la Bwana, mfalme wa Israeli.


Yeye atanitukuza mimi: kwa kuwa atatwaa katika iliyo yangu, atawapasheni khabari.


Yesu akamwambia, Ee mwanamke, uniamini, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala katika Yerusalemi.


Bassi watu wale, walipoiona ishara aliyoifanya Yesu, wakasema, Huyu hakika ni nabii yule ajae ulimwenguni.


Watu wengi katika makutano wakamwamini: wakasema, Atakapokuja Kristo, je! atafanya ishara nyingi zaidi kuliko hizi alizozifanya huyu?


Kwa kuwa bado kitambo kidogo sana, Yeye ajae atakuja, wala hatakawia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo