Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 11:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Naam, Baba, kwa kuwa ndivyo ilivyopendeza mbele yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Naam, Baba, ndivyo ilivyokupendeza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Naam, Baba, kwa kuwa hivyo ndivyo ilivyokupendeza.

Tazama sura Nakili




Mathayo 11:26
14 Marejeleo ya Msalaba  

Saa ileile Yesu akashangilia katika Roho, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na inchi, kwa kuwa umewaficha wenye hekima na busara mambo haya, ukawafunulia watoto wachanga: Naam, Baba, kwa maana ndivyo vilivyokuwa vinapendeza mbele yako.


Baba, ukipenda, uniondolee kikombe hiki: lakini si kama nitakavyo mimi, illa utakavyo wewe vifanyike.


Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa maana hawajui watendalo. Wakagawanya nguo zake, wakipiga kura.


Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia.


Sasa roho yangu imefadhaika; niseme nini? Baba, uniokoe na saa hii. Lakini kwa ajili ya hayo naliifikia saa hii. Baba, ulitukuze jina lako.


Bassi ikaja sauti kutoka mbinguni, Nimelitukuza, nami nitalitukuza tena.


Bassi, kama ni hivyo, atakae (kumrehemu) humrehemu, na atakae kumfanya mgumu humfanya mgumu.


ambae ndani yake sisi tumepata urithi, tukichaguliwa tangu awali kwa kusudi lake yeye afanyae yote kwa shauri la nia yake;


akiisha kutujulisha siri ya nia yake, kwa kadiri ya mapenzi yake, aliyoyakusudia katika yeye huyu,


kwa kadiri ya kusudi la milele alilolikusudia katika Kristo Yesu Bwana wetu.


aliyetuokoa akatuita kwa wito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu, bali kwa kadiri ya makusudi yake mwenyewe na neema yake, tuliyopewa sisi katika Kristo Yesu, kabla ya nyakati za zamani;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo