Mathayo 11:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192118 Maana Yohana alikuja, hali wala hanywi, wakanena. Yuna pepo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Kwa maana Yohane alikuja, akafunga na wala hakunywa divai, nao wakasema: ‘Amepagawa na pepo’. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Kwa maana Yohane alikuja, akafunga na wala hakunywa divai, nao wakasema: ‘Amepagawa na pepo’. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Kwa maana Yohane alikuja, akafunga na wala hakunywa divai, nao wakasema: ‘Amepagawa na pepo’. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kwa maana Yahya alikuja, alikuwa hali wala hanywi, nao wanasema, ‘Yeye ana pepo mchafu.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kwa maana Yahya alikuja, alikuwa hali wala hanywi, nao wanasema, ‘Yeye ana pepo mchafu.’ Tazama sura |