Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 11:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Nitafananisha na nini kizazi hiki? Kimefanana na watoto wakikaa sokoni, wanaowaita wenzao,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 “Basi, nitakifananisha kizazi hiki na kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa wakiambiana kikundi kimoja kwa kingine:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 “Basi, nitakifananisha kizazi hiki na kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa wakiambiana kikundi kimoja kwa kingine:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 “Basi, nitakifananisha kizazi hiki na kitu gani? Ni kama vijana waliokuwa wamekaa uwanjani, wakawa wakiambiana kikundi kimoja kwa kingine:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 “Lakini kizazi hiki nikifananishe na nini? Kinafanana na watoto waliokaa sokoni wakiwaita wenzao na kuwaambia,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 “Lakini kizazi hiki nikifananishe na nini? Kinafanana na watoto waliokaa sokoni wakiwaita wenzao na kuwaambia,

Tazama sura Nakili




Mathayo 11:16
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye masikio ya kusikilia, na asikie.


wakinena, Twaliwapigia filimbi, wala hamkucheza; twaliomboleza, wala hamkulia.


Uzao wa nyoka, mwawezaje kusema mema, mkiwa wabaya? Maana, kinywa cha mtu huyanena yaujazayo moyo wake.


Amin, nawaambieni, Mambo haya yote yatakijia kizazi hiki.


na kusalimiwa sokoni, na kuitwa na watu, Rabbi, Rabbi.


Amin, nawaambieni, Hakitapita kizazi hiki, hatta yatakapokuwa haya yote.


Akawaambia katika mafundisho yake, Jibadharini na waandishi, wapendao kutembea wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa masokoni,


Akanena, Tuulinganishe na nini ufalme wa Mungu? au tuutie katika mfano gani?


Ole wenu, Mafarisayo, kwa sababu mwapenda kukaa mbele katika sunagogi na kusalimiwa masokoni.


Bassi, akasema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Na niufananishe na nini?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo