Mathayo 11:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Na ikiwa mantaka kukubali, yeye ndiye Elia atakaekuja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Elia ambaye angekuja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Elia ambaye angekuja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Kama mwaweza kukubali basi, Yohane ndiye Elia ambaye angekuja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Ikiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Ilya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Ikiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Ilya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. Tazama sura |
Nikaona viti vya enzi, wakaketi juu yake, wakapewa hukumu: nikaona roho zao waliokatwa kichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao wasiomsujudia nyama, wala sanamu yake, wala hawakuipokea alama yake katika vipaji vya nyuso zao, wala katika mikono yao; wakawa hayi, wakamiliki pamoja na Kristo miaka elfu.