Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 11:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Kwa maana manabii wote na torati walitabiri mpaka wakati wa Yohana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Mafundisho yote ya manabii na sheria mpaka wakati wa Yohane yalibashiri juu ya nyakati hizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Mafundisho yote ya manabii na sheria mpaka wakati wa Yohane yalibashiri juu ya nyakati hizi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Mafundisho yote ya manabii na sheria mpaka wakati wa Yohane yalibashiri juu ya nyakati hizi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri hadi wakati wa Yahya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Kwa maana manabii wote na Torati walitabiri mpaka wakati wa Yahya.

Tazama sura Nakili




Mathayo 11:13
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tangu siku za Yohana Mbatizaji hatta leo ufalme wa mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wauteka.


Na ikiwa mantaka kukubali, yeye ndiye Elia atakaekuja.


Akaanza toka Musa na manabii, akawafasiria katika maandiko yote mambo yaliyomkhusu yeye.


Akawaambia, Haya ndiyo maneno yangu niliyowaambieni, nilipokuwa kwenu, ya kuwa hayana buddi kutimizwa yote niliyoandikiwa katika torati ya Musa, na katika manabii, na katika zaburi.


Kwa maana wakaao Yerusalemi, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua huyu, wala sauti za manabii wanaosomwa killa sabato, wamezitimiza kwa kumhukumu.


Sasa, lakini, haki ya Mungu imedhihirika pasipo sharia, inashuhudiwa na torati na manabii,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo