Mathayo 11:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 Tangu siku za Yohana Mbatizaji hatta leo ufalme wa mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wauteka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Tangu wakati wa Yohane Mbatizaji mpaka leo hii, ufalme wa mbinguni unashambuliwa vikali, na watu wakali wanajaribu kuunyakua kwa nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Tangu wakati wa Yohane Mbatizaji mpaka leo hii, ufalme wa mbinguni unashambuliwa vikali, na watu wakali wanajaribu kuunyakua kwa nguvu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Tangu wakati wa Yohane Mbatizaji mpaka leo hii, ufalme wa mbinguni unashambuliwa vikali, na watu wakali wanajaribu kuunyakua kwa nguvu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Tangu siku za Yahya hadi sasa, ufalme wa mbinguni hunyakuliwa kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Tangu siku za Yahya hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka. Tazama sura |