Mathayo 10:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19217 Na katika kuenenda kwenu, khubirini, nikinena, Ufalme wa mbinguni umekaribia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Mnapokwenda hubirini hivi: ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Mnapokwenda hubirini hivi: ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Mnapokwenda hubirini hivi: ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Mnapoenda, hubirini ujumbe huu, ‘Ufalme wa mbinguni umekaribia.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Wakati mnapokwenda, hubirini mkisema, ‘Ufalme wa Mbinguni umekaribia.’ Tazama sura |