Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 10:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 afadhali shikeni njia kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Ila nendeni kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Ila nendeni kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Ila nendeni kwa watu wa Israeli waliopotea kama kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Lakini afadhali mshike njia kuwaendea kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Lakini afadhali mshike njia kuwaendea kondoo wa nyumba ya Israeli waliopotea.

Tazama sura Nakili




Mathayo 10:6
20 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni msidharau mmoja wa wadogo hawa; kwa maana nawaambieni ya kwamba malaika zao mbinguni siku zote wanamtazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.


Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.


na mataifa yote wakhubiriwe kwa jina lake toba na ondoleo la dhambi, kuanzia Yerusalemi.


Paolo na Barnaba wakanena kwa uthabiti wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu linenwe kwenu kwanza: illakini kwa kuwa mnalisukumia mbali, wala hamjioni nafsi zenu kuwa mmestahili uzima wa milele, angalieni, twawageukia mataifa.


Walipopingamana nae na kutukana, akakungʼuta mavazi yake, akawaambia, Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu: mimi ni safi: langu sasa nitakwenda kwa watu wa mataifa.


hali kwanza niliwakhubiri wale wa Dameski na Yerusalemi, na katika inchi yote ya Yahudi, na watu wa mataifa, watubu wakamwelekee Mungu, wakiyatenda matendo yanayopatana na kutubu kwao.


Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, illi kuwabarikini kwa kumwepusha killa mmoja wenu na maovu wake.


Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea; lakini sasa mmemrudia Mchunga na Askofu wa roho zenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo