Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 10:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 Nae asiyechukua msalaba wake na kufuata nyuma yangu, hanifai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Tena yeyote asiyeuchukua msalaba wake na kunifuata, hastahili kuwa wangu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 10:38
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu atakae kuandama nyuma yangu, ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake, anifuate.


Hatta walipokuwa wakitoka humo, wakakutana na mtu Mkurene, jina lake Simon; huyu wakamtumikisha auchukue msalaba wake.


Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa neno moja Enenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni: ukiisha, njoo ukajitwike msalaba wako unifuate.


Akawaita makutano na wanafunzi wake, akawaambia, Atakae kuniandama na ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake, anifuate.


Na mfu ye yote asiyechukua msalaba wake na kuja nyuma yangu, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


akatoka, akijichukulia msalaba wake, hatta mahali paitwapo pa kichwa, na kwa Kiebrania Golgotha;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo