Mathayo 10:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192137 Apendae baba au mama kuliko mimi, hanifai; na apendae mwana au binti kuliko mimi hanifai. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 “Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 “Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 “Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 “Yeyote ampendaye baba yake au mama yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu. Yeyote ampendaye mwanawe au binti yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 “Yeyote ampendaye baba yake au mama yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu. Yeyote ampendaye mwanawe au binti yake kuliko anavyonipenda mimi, hastahili kuwa wangu. Tazama sura |