Mathayo 10:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 Amin, nawaambieni, Itakuwa rakhisi inchi ya Sodoma na Gomora istahimili adhabu yao siku ya hukumu, kuliko mji ule. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Kweli nawaambieni, siku ya hukumu mji huo utapata adhabu kubwa kuliko ile iliyoipata miji ya Sodoma na Gomora. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Kweli nawaambieni, siku ya hukumu mji huo utapata adhabu kubwa kuliko ile iliyoipata miji ya Sodoma na Gomora. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Kweli nawaambieni, siku ya hukumu mji huo utapata adhabu kubwa kuliko ile iliyoipata miji ya Sodoma na Gomora. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Amin, nawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa miji ya Sodoma na Gomora kustahimili katika hukumu kuliko mji huo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Amin, nawaambia, itakuwa rahisi zaidi kwa miji ya Sodoma na Gomora kustahimili katika hukumu kuliko mji huo. Tazama sura |