Mathayo 10:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 Na nyumba ile ikistahili, amani yenu iifikilie: la, haistahili, amani yenu iwarudieni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Kama wenyeji wa nyumba hiyo wanastahili salamu hiyo, basi, amani yenu itakaa pamoja nao. Lakini ikiwa hawastahili, basi amani yenu itawarudia nyinyi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Kama wenyeji wa nyumba hiyo wanastahili salamu hiyo, basi, amani yenu itakaa pamoja nao. Lakini ikiwa hawastahili, basi amani yenu itawarudia nyinyi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Kama wenyeji wa nyumba hiyo wanastahili salamu hiyo, basi, amani yenu itakaa pamoja nao. Lakini ikiwa hawastahili, basi amani yenu itawarudia nyinyi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Kama nyumba hiyo inastahili, amani yenu na iwe juu yake. La sivyo, amani yenu na iwarudie ninyi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Kama nyumba hiyo inastahili, amani yenu na iwe juu yake. La sivyo, amani yenu na iwarudie ninyi. Tazama sura |