Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 1:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Yese akamzaa mfalme Daud. Mfalme Daud na mke wa Uria wakamzaa Suleman;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 naye Yese alimzaa Mfalme Daudi. Daudi alimzaa Solomoni (mama yake Solomoni alikuwa Bath-Sheba mke wa Uria).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 naye Yese alimzaa Mfalme Daudi. Daudi alimzaa Solomoni (mama yake Solomoni alikuwa Bath-Sheba mke wa Uria).

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 naye Yese alimzaa Mfalme Daudi. Daudi alimzaa Solomoni (mama yake Solomoni alikuwa Bath-Sheba mke wa Uria).

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Yese akamzaa Daudi, aliyekuwa mfalme. Daudi akamzaa Sulemani, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Yese akamzaa Daudi ambaye alikuwa mfalme. Daudi akamzaa Sulemani, ambaye mama yake ni yule aliyekuwa mke wa Uria.

Tazama sura Nakili




Mathayo 1:6
25 Marejeleo ya Msalaba  

Salmon na Rahab wakamzaa Boaz; Boaz na Ruth wakamzaa Obed; Obed akamzaa Yese;


Maana yale yasiyowezekana kwa sharia, kwa kuwa dhaifu kwa sababu ya mwili, Mungu, kwa kumtuma Mwana wake mwenyewe katika mfano wa mwili ulio wa dhambi, na kwa ajili ya dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo