Mathayo 1:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192125 akamchukua mkewe; asimjue kamwe hatta alipomzaa mwanawe wa kifungua mimba; akainwita jina lake YESU. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Lakini hakulala naye hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume. Naye Yosefu akampa jina Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Lakini hakulala naye hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume. Naye Yosefu akampa jina Yesu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Lakini hakulala naye hata Maria alipojifungua mtoto wa kiume. Naye Yosefu akampa jina Yesu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Lakini hawakukutana kimwili hadi Mariamu alipojifungua mwanawe; akamwita jina Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Lakini hawakukutana kimwili mpaka Mariamu alipojifungua mwanawe kifungua mimba, akamwita Jina lake Isa. Tazama sura |