Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Mathayo 1:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Nae Yusuf, mumewe, kwa kuwa mtu wa haki, asitake kumwaibisha, aliazimu kumwacha kwa siri.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Yosefu, mumewe, kwa vile alikuwa mwadilifu, hakutaka kumwaibisha hadharani; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Yosefu, mumewe, kwa vile alikuwa mwadilifu, hakutaka kumwaibisha hadharani; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Yosefu, mumewe, kwa vile alikuwa mwadilifu, hakutaka kumwaibisha hadharani; hivyo alikusudia kumwacha kwa siri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Kwa kuwa Yusufu, mwanaume aliyekuwa amemposa alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Mariamu hadharani, hivyo basi alikusudia kumwacha kwa siri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Kwa kuwa Yusufu, mwanaume aliyekuwa amemposa, alikuwa mtu mwadilifu, hakutaka kumwaibisha Mariamu hadharani, bali aliazimu kumwacha kwa siri.

Tazama sura Nakili




Mathayo 1:19
15 Marejeleo ya Msalaba  

Wakasema, Musa alitoa rukhusa kuandika khati ya talaka na kumwacha.


Maana Herode alimwogopa Yohana: hatta akimjua kuwa ni mtu wa haki, mtakatifu, akamhami, na alipokwisha kumsikiliza alifanya mambo mengi: nae alikuwa akimsikiliza kwa furaha.


Bassi kulikuwako mtu katika Yerusalemi, jina lake Sumeon; na yule mtu mwenye haki, mtawa, akitazamia faraja ya Israeli: na Roho Mtakatifu alikuwa pamoja nae.


Wakasema, Kornelio akida, mtu mwenye haki, mcha Mungu, aliye na sifa njema kwa taifa lote la Wayahudi, alionywa na malaika mtakatifu kutuma watu kwako, uende nyumbani kwake, apate kusikiliza maneno yako.


Kulipokucha hawakuitambua ile inchi, illa waliona hori yenye ufuko, wakashauriana kuiegesha merikebu huko, kama ikiwezekana.


Na nikiwa na timiaini hilo nalitaka kwenda kwenu hapo kwanza, illi mpate karama ya pili;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo