Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 9:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Lakini simama, uingie mjini, utaambiwa yatakayokupasa kutenda.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Lakini simama sasa, uingie mjini na huko utaambiwa unachopaswa kufanya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Lakini simama sasa, uingie mjini na huko utaambiwa unachopaswa kufanya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Lakini simama sasa, uingie mjini na huko utaambiwa unachopaswa kufanya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Sasa inuka uingie mjini, nawe utaambiwa unachopaswa kufanya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 “Sasa inuka uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.”

Tazama sura Nakili




Matendo 9:6
33 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho, na walio wa mwisho, wa kwanza.


Nao makutano wakamwuliza wakinena, Tufanyeni, bassi?


Wakasema, Kornelio akida, mtu mwenye haki, mcha Mungu, aliye na sifa njema kwa taifa lote la Wayahudi, alionywa na malaika mtakatifu kutuma watu kwako, uende nyumbani kwake, apate kusikiliza maneno yako.


Bassi, tuma watu kwenda Yoppa, ukamwite Simon aitwae Petro, aje hapa; anakaa katika nyumha ya Simon, mtengenezaji wa ngozi, karibu ya pwani: nae akija atasema nawe.


Yeye ni mgeni wa mtu mmoja, jina lake Simon, mtengenezaji wa ngozi; nyumba yake iko pwani; atakuambia yakupasayo kutenda.


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?


Nikasema, Nifanye nini, Bwana? Bwana akaniambia, Simama, uende hatta Dameski, na huko utaambiwa khabari za mambo vote yaliyoamriwa uyafanye.


Lakini inuka, usimame, maana nimekutokea kwa sababu hii, nikuweke nwe mtumishi na shahidi wa mambo haya uliyoyaona, na wa mambo ambayo kwayo nitajidhihirisha kwako;


Akasema, U nani Bwana? Akasema, Mimi ndimi Yesu unaeniudhi wewe.


Na Isaya ana ujasiri mwingi, anasema, Nalipatikana nao wasionitafuta, Nalidhihirika kwao wasioniulizia.


Kwa maana, wakiwa hawajui haki ya Mungu, na wakitaka kuithubutisha haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.


Sharia iliingia illi anguko lile liwe kubwa sana; na dhambi ilipozidi, neema ilikuwa nyingi zaidi;


Na mimi nalikuwa hayi hapo kwanza hila sharia; illa ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, na mimi nikafa.


Bassi, wapendwa, kama vile mlivyotii siku zote, si wakati mimi nilipokuwapo, bali sasa zaidi mimi nisipokuwapo, utimizeni wokofu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka;


Lakini atupa sisi neema nyingi zaidi; kwa hiyo asema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neemi wanyenyekevu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo