Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 9:41 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

41 Akampa mkono, akamwinua; hatta akiisha kuwaita wale watakatifu na wajane akamweka mbele yao, yu hayi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 Petro akamsaidia kusimama, halafu akawaita wale watu wa Mungu na wale wajane, akamkabidhi kwao akiwa mzima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 Petro akamsaidia kusimama, halafu akawaita wale watu wa Mungu na wale wajane, akamkabidhi kwao akiwa mzima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 Petro akamsaidia kusimama, halafu akawaita wale watu wa Mungu na wale wajane, akamkabidhi kwao akiwa mzima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 Petro akamshika mkono akamwinua, ndipo akawaita wale watakatifu na wajane akamkabidhi kwao akiwa hai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 Petro akamshika mkono akamwinua, ndipo akawaita wale watakatifu na wajane akamkabidhi kwao akiwa hai.

Tazama sura Nakili




Matendo 9:41
15 Marejeleo ya Msalaba  

marra wakamwambia khahari zake: akamkaribia, akamwinua kwa kumshika mkono, homa ikamwacha, akawakhudumia.


Bassi, alipokaribia lango la mji, hapo palikuwa na maiti anachukuliwa nje, mwana pekee wa mama yake, nae mjane; na watu wa mji wengi pamoja nae.


Yule maiti akaketi, akaanza kusema. Akampa mama yake.


Wakamleta yule kijana, yu mzima, wakafarajika faraja kubwa sana.


Akamshika mkono wa kuume, akamwinua, marra nyayo zake na vifundo vya miguu yake vikapata nguvu.


HATTA siku ziie wanafunzi walipokuwa wakiongezeka hesabu yao, palikuwa na manungʼuniko ya Wahelenisti juu ya Waebrania kwa sababu wajane wao walisahauliwa katika khuduma ya killa siku.


Lakini Anania akajibu, Bwana, nimesikia khabari za mtu huyu kwa watu wengi, mabaya mengi aliyowatenda watakatifu wako Yerusalemi:


Hatta Petro alipokuwa akizungukazunguka pande zote akawatelemkia watakatifu waliokaa Ludda.


Waheshimu wajane walio wajane kweli kweli.


Bali yeye aliye mjane kweli kweli, na kuachwa peke yake, amemwekea Mungu tumaini lake, nae hudumu katika maombi na sala mchana na usiku.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo