Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 9:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

37 Ikawa siku zile akaugua, akafa: hatta walipokwisha kumwosha, wakamweka orofani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. Watu wakauosha mwili wake, wakaulaza katika chumba ghorofani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. Watu wakauosha mwili wake, wakaulaza katika chumba ghorofani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Wakati huo ikawa kwamba aliugua, akafa. Watu wakauosha mwili wake, wakaulaza katika chumba ghorofani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Wakati huo akaugua, akafa, na wakauosha mwili wake wakauweka katika chumba cha ghorofani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Wakati huo akaugua, akafa na wakiisha kuuosha mwili wake wakauweka katika chumba cha ghorofani.

Tazama sura Nakili




Matendo 9:37
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nae mwenyewe atawaonyesha orofa kuhwa, imetandikwa tayari: huko tuandalieni.


Hatta walipoingia, wakapanda orofani, walipokuwa wakikaa; Petro, na Yakobo, na Yohana, na Andrea, Filipo na Tomaso, Bartolomayo na Mattayo, Yakobo wa Alfayo, na Simon Zelote, na Yuda wa Yakobo.


Palikiuwa na taa nyingi katika orofa ile walipokuwa wamekusanyika.


Petro akaondoka akafuatana nao. Alipofika wakampeleka juu orofani: wajane wote wakasimama karibu nae, wakilia na kuniwonyesha zile kanzu na nguo alizozifanya Paa wakati ule alipokuwa pamoja nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo