Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 8:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

5 Filipo akatelemka akaingia mji wa Samaria, akawakhubiri Kristo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Naye Filipo aliingia katika mji wa Samaria na kumhubiri Kristo kwa wenyeji wa hapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Naye Filipo aliingia katika mji wa Samaria na kumhubiri Kristo kwa wenyeji wa hapo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Naye Filipo aliingia katika mji wa Samaria na kumhubiri Kristo kwa wenyeji wa hapo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Filipo akaenda mji mmoja wa Samaria akawahubiria habari za Al-Masihi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Filipo akateremkia mji mmoja wa Samaria akawahubiria habari za Al-Masihi.

Tazama sura Nakili




Matendo 8:5
18 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemi, na katika Yahudi yote, na Samaria, na hatta mwisho wa inchi.


Assubuhi yake sisi tulifuatana na Paolo tukatoka, tukafika Kaisaria, tukaingia nyumbani mwa Filipo, Mwinjilisti, aliyekuwa mmoja wa wale saba, tukakaa kwake.


Na killa siku ndani ya hekalu na nyumbani mwao, hawakuacha kufundisha na kukhubiri khabari njema za Yesu kwamba ni Kristo.


Neno hili likapendeza machoni jia mkutano wote: wakamehagua Stefano, mtu aliyejaa imani na Roho Mtakatifu na Filipo, na Prokoro, na Nikanor, na Timoni, na Parmena, na Nikolao mwongofu wa Antiokia.


NA Saul alikuwa akiona vema auawe. Siku ile kukatukia adha nyingi juu ya kanisa lililokuwa katika Yerusalemi: wote wakatawanyika katika inchi ya Yahudi na Samaria, illa mitume.


Malaika wa Bwana akasema na Filipo, akamwambia, Ondoka uende upande wa kusini hatta njia ile itelemkayo kutoka Yemsalemi kwenda Gaza; nayo ni jangwa.


Bassi Filipo akaenda mbio, akamsikia anasoma chuo cha nabii Isaya: akanena, Je, yamekuelea haya unayosoma?


Filipo akaonekana katika Azoto, na alipokuwa akipita akakhubiri Injili katika miji yote, hatta akafika Kaisaria.


Na makutano kwa nia moja wakasikiliza maneno yote yaliyosemwa na Filipo walipoyasikia na kuiona miujiza aliyokuwa akiifanya.


Marra akamkhubiri Yesu katika masunagogi, kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.


bali sisi tunamkhubiri Kristo, aliyesulibiwa; kwa Wayahudi ni kikwazo, na kwa Wayunani ni upumbavu,


Maana naliazimu nisijue neno kwenu illa Yesu Kristo, nae amesulibiwa.


Maana msingi wa namna nyingine hapana mtu awezae kuweka, illa ule uliokwisha kuwekwa, yaani Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo