Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 8:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 Lakini wale waliotawanyika wakaenda huko na huko wakilikhubiri neno.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Wale waumini waliotawanyika, walikwenda kila mahali wakihubiri ule ujumbe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Wale waumini waliotawanyika, walikwenda kila mahali wakihubiri ule ujumbe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Wale waumini waliotawanyika, walikwenda kila mahali wakihubiri ule ujumbe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Kwa hiyo wale waliotawanyika wakalihubiri neno la Mungu kila mahali walipoenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kwa hiyo wale waliotawanyika wakalihubiri neno la Mungu kila mahali walipokwenda.

Tazama sura Nakili




Matendo 8:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Watakapowaudhi katika mji huu, kimbilieni mwingine: kwa maana ni kweli nawaambieni, Hamtaimaliza miji yote ya Israeli, hatta ajapo Mwana wa Adamu.


kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi, ua watumishi wa lile neno tokea mwanzo,


Bassi wale waliotawanyika kwa sababu ya ile shidda iliyotukia kwa khabari ya Stefano, wakasafiri hatta Foiniki na Kupro na Antiokia, wasilikhubiri lile neno illa kwa Wayahudi peke yao.


Na Paolo na Barnaba wakakaa huko Antiokia, wakifundisiia na kulikhubiri neno la Bwana, pamoja na watu wengine wengi.


NA Saul alikuwa akiona vema auawe. Siku ile kukatukia adha nyingi juu ya kanisa lililokuwa katika Yerusalemi: wote wakatawanyika katika inchi ya Yahudi na Samaria, illa mitume.


Lakini walimpomwamini Filipo, akizikhubiri khabari njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na wanawake.


bali tukiisha kuteswa kwanza na kutendwa jeuri, kama mjuavyo, katika Filippi, twalithubutu katika Mungu kuinena Injili ya Mungu kwenu, kwa kuishindania sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo