Matendo 8:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192137 Filipo akasema, Ukiamini kwa moyo wako wote, ni halali. Akajibu, akanena, Namwamini Mwana wa Mungu kuwa ndiye Yesu Kristo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Filipo akasema, “Kama unaamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa.” Naye akajibu, “Naam, ninaamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu.”] Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Filipo akasema, “Kama unaamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa.” Naye akajibu, “Naam, ninaamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu.”] Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Filipo akamwambia, “Ukiamini kwa moyo wako wote, unaweza kubatizwa.” Akajibu, “Naamini kuwa Isa Al-Masihi ni Mwana wa Mungu.”] Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Filipo akamwambia, “Kama ukiamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa.” Akajibu, “Naamini kuwa Isa Al-Masihi ni Mwana wa Mungu.”] Tazama sura |