Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 8:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Filipo akafunua kinywa chake na akilianzia andiko hili, akamkhubiri khabari njema za Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Basi, Filipo akianzia na sehemu hiyo ya Maandiko Matakatifu, akamweleza Habari Njema juu ya Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Basi, Filipo akianzia na sehemu hiyo ya Maandiko Matakatifu, akamweleza Habari Njema juu ya Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Basi, Filipo akianzia na sehemu hiyo ya Maandiko Matakatifu, akamweleza Habari Njema juu ya Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Ndipo Filipo akaanza kutumia fungu lile la Maandiko, akamweleza Injili ya Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Ndipo Filipo akaanza kutumia fungu lile la Maandiko, akamweleza habari njema za Isa.

Tazama sura Nakili




Matendo 8:35
20 Marejeleo ya Msalaba  

akafunua kinywa chake, akawafundisha, akinena,


Akaanza toka Musa na manabii, akawafasiria katika maandiko yote mambo yaliyomkhusu yeye.


Petro akafumhua kiuywa chake, akasema, Hakika nimekwisha kutambua ya kuwa Mungu hana upendeleo;


Baadhi ya hao walikuwa watu wa Kupro na Kurene, nao walipofika Antiokia wakasema na Wahelenisti, wakakhubiri khabari njema za Bwana Yesu.


Na baadhi ya Waepikurio na Wastoiko, matilosofo, wakakutana nae. Wengine wakasema, Mtu huyu mwenye maneno mengi anataka kusema nini? Wengine walisema, Anaonekana kuwa mtangaza khabari za miungu migeni, kwa maana alikuwa akikhubiri khabari za Yesu na ufufuo.


Kwa maana aliwashinda Wayahudi kabisa kabisa mbele ya watu wote, akiwaonyesha kwa maneno ya maandiko ya kuwa Yesu ni Kristo.


Baadhi ya Wayahudi wenye kutangatanga, nao ni waganga wa pepo, wakajaribu kutaja jina la Bwana Yesu juu yao waliopagawa na pepo wachafu, wakisema, Twawaapizeni kwa Yesu, yule anaekhubiriwa na Paolo.


Wakiislia kuwekana kwa siku, wakaja kwake nyumbani kwake, watu wengi sana, akawaeleza kwa taratibu na kuushuhudia ufalme wa Mungu, akiwaonya mambo yake Yesu, kwa maneno ya sharia ya Musa na ya manabii, tangu assubuhi hatta jioni.


apate kumtuma Kristo aliyekhubiriwa kwenu tangu zamani;


Na killa siku ndani ya hekalu na nyumbani mwao, hawakuacha kufundisha na kukhubiri khabari njema za Yesu kwamba ni Kristo.


Yule tawashi akamjibu Filipo, Nakuomba, nabii huyu asema maneno haya kwa khabari ya nani; ni khabari zake mwenyewe an khabari za mtu mwingine?


Marra akamkhubiri Yesu katika masunagogi, kwamba yeye ni Mwana wa Mungu.


bali sisi tunamkhubiri Kristo, aliyesulibiwa; kwa Wayahudi ni kikwazo, na kwa Wayunani ni upumbavu,


Maana naliazimu nisijue neno kwenu illa Yesu Kristo, nae amesulibiwa.


Vinywa vyetu vimewafunukia ninyi, enyi Wakorintho; mioyo yetu imekunjuliwa.


mkiwa mwalimsikia mkafundishwa katika yeye, kama ilivyo kweli katika Yesu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo