Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 8:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Katika kujidhili kwake hukumu yake iliondolewa. Ni nani atakaeeleza kizazi chake? Kwa maana uzima wake umeondolewa katika inchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Alifedheheshwa na kunyimwa haki. Hakuna atakayeweza kuongea juu ya kizazi chake, kwa maana maisha yake yameondolewa duniani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Alifedheheshwa na kunyimwa haki. Hakuna atakayeweza kuongea juu ya kizazi chake, kwa maana maisha yake yameondolewa duniani.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Alifedheheshwa na kunyimwa haki. Hakuna atakayeweza kuongea juu ya kizazi chake, kwa maana maisha yake yameondolewa duniani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Katika kufedheheshwa kwake alinyimwa haki yake. Nani awezaye kueleza kuhusu kizazi chake? Kwa maana maisha yake yaliondolewa kutoka duniani.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Katika kufedheheshwa kwake alinyimwa haki yake. Nani awezaye kueleza juu ya kizazi chake? Kwa maana maisha yake yaliondolewa kutoka duniani.”

Tazama sura Nakili




Matendo 8:33
17 Marejeleo ya Msalaba  

Yule tawashi akamjibu Filipo, Nakuomba, nabii huyu asema maneno haya kwa khabari ya nani; ni khabari zake mwenyewe an khabari za mtu mwingine?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo