Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 8:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

23 Kwa maana nakuona una nchungu kama nyongo, na tena u katika kifungo cha uovu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na u mfungwa wa dhambi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na u mfungwa wa dhambi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Ni dhahiri kwangu kwamba umejaa wivu mkali na u mfungwa wa dhambi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kwa maana ninaona kwamba wewe umejawa na uchungu na ni mfungwa wa dhambi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kwa maana ninaona kwamba wewe umejawa na uchungu na ni mfungwa wa dhambi.”

Tazama sura Nakili




Matendo 8:23
18 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawajibu, Amin, amin, nawaambieni, Killa atendae dhambi, ni mtumwa wa dhambi.


Uchungu wote na hasira na ghadhabu na kelele na matukano yaondoke kwenu, pamoja na killa ubaya;


Maana hapo zamani sisi nasi tulikuwa hatuna akili, maasi, tumedanganywa, tukitumikia tamaa na anasa za namna nyingi, tukienenda katika uovu na husuda, tukichukiza na kuchukiana.


mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua watu wengi, wakatiwe najis kwa hilo.


wakiwaahidia uhuru, nao wenyewe ni watumwa wa uharibifu. Maana mtu akishindwa na mtu, huwa mtumwa wa mtu yule.


Kwa maana kama vile Mungu hakuwaachilia malaika waliokosa, bali aliwatupa shimoni, akawatia katika mafungo ya giza, walindwe hatta ije hukumu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo