Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 8:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Na yeye Simon mwenyewe aliamini akabatizwa, akakaa na Filipo: akashangaa alipoziona ishara na miujiza mikubwa inayotendeka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Hata Simoni aliamini; na baada ya kubatizwa alikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Hata Simoni aliamini; na baada ya kubatizwa alikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Hata Simoni aliamini; na baada ya kubatizwa alikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Simoni naye akaamini na akabatizwa. Akamfuata Filipo kila mahali, akistaajabishwa na ishara kuu na miujiza aliyoiona.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Simoni naye akaamini na akabatizwa. Akamfuata Filipo kila mahali, akistaajabishwa na ishara kuu na miujiza aliyoiona.

Tazama sura Nakili




Matendo 8:13
16 Marejeleo ya Msalaba  

wakabatizwa nae mtoni Yordani, wakiziungama dhambi zao.


Na ishara hizi zitafuatana nao waaminio; Kwa jina langu watafukuza pepo; watasema kwa ndimi mpya;


Na wale juu ya mwamba ndio wale ambao, walisikiapo neno, hulipokea kwa furaha; na hawa hawana mizizi, huamini kwa kitambo, na wakati wa kujaribiwa hujitenga.


Maana Baba ampenda Mwana, amwonyesha yote ayatendayo mwenyewe; na kazi kubwa zaidi kuliko hizi atamwonyesha illi ninyi mpate kustaajabu.


Yesu akajibu, akawaambia, Nalitenda kazi moja, nanyi nyote mnastaajabu.


Hatta sabato ya pili, watu wengi, karibu mji wote, wakakusanyika walisikie neno la Mungu.


Mungu akafanya kwa mikono ya Paolo miujiza ya kupita kawaida;


Wakamtambua, ya kuwa yeye ndiye aliyekuwa ameketi na kuomba sadaka penye mlango mzuri wa hekalu: wakajaa ushangao wakastaajabia mambo yale yaliyompata.


Huna fungu wala huna sehemu katika jambo hili, kwa kuwa moyo wako si mnyofu mbele ya Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo