Matendo 8:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192113 Na yeye Simon mwenyewe aliamini akabatizwa, akakaa na Filipo: akashangaa alipoziona ishara na miujiza mikubwa inayotendeka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Hata Simoni aliamini; na baada ya kubatizwa alikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Hata Simoni aliamini; na baada ya kubatizwa alikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Hata Simoni aliamini; na baada ya kubatizwa alikuwa akiandamana na Filipo, akastaajabia maajabu na miujiza iliyokuwa inafanyika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Simoni naye akaamini na akabatizwa. Akamfuata Filipo kila mahali, akistaajabishwa na ishara kuu na miujiza aliyoiona. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Simoni naye akaamini na akabatizwa. Akamfuata Filipo kila mahali, akistaajabishwa na ishara kuu na miujiza aliyoiona. Tazama sura |